Header Ads

Mfanyakazi wa ndani afumwa akiliwa Denda nje kweupee...

Mambo mengine yanafurasha kweli maana kwa mimi ninavyojua ni kwamba mapenzi yanaitaji sehemu tulivu na yenye kufurahisha ili kila mmoja awe huru na kujiachia sasa kwa hawa waliokuwa wanafanya mapenzi jikoni sijui walikuwa wanajirisha tu tamaa zao za kimwili au ni kwalengo la kutamaniana tu.... Kweli kwastaili hii Mapenzi yatadhidi kupungua thamani kwa kiasi kikubwa mnoooo..... Tuyathamini mapenzi ilituyafurahie na si kufanya kwa lengo la kuridhisha miili yetu tu na waletunaofanya nao... 

No comments

Powered by Blogger.