Header Ads

Majambazi 3 wakamatwa wakiwa katika jaribio la kutaka kuiba katika Bank ya NMB tawi la Sinza-Mori Dar

Polisi jijini Dar wamewakamata watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wakiwa katika jaribio la kuiba pesa katika benki ya NMB iliyopo Sinza-Mori, Dar.

Tukio hilo limetokea mchana wa jana katika Benki ya NMB tawi la Sinza-Mori jijini Dar ambapo majambazi hao walikamatwa wakiwa katika harakati za kutekeleza tukio hilo.


Majambazi hao baada ya kukamatwa wamepelekwa katika kituo cha Polisi Mabatini kilichopo Kijitonyama jijini Dar.

No comments

Powered by Blogger.