Header Ads

Huddah asema atakuwepo katika Zari white party, Mlimani city



Ile show ya kijanja inayosubiriwa kwa hamu kutoka kwa mtoto mkali aka malkia wa East Africa,Malkia wa swaga East Africa, mwanamke mzuri kuliko wote East Africa, Mwanamke Tajiri kuliko mastaa wote East East aka muke mtarajiwa wa the big super star from East Africa Diamond platnums aitwaye zari the bosslady anaungana na bosslady mwenzie huddah the boss chick kutoka Kenya kuja kuwavuruga watoto wa Tz, ni pale pale Mlimani city, tarehe ni ile ile, unaanzaje sasa kukosa? "Ambie Rafiki yako awaambie rafiki zake kuwa tarehe 01/5 KINANUKAA!!! " (In zaris voice ).ahahahah hahah shemeji umeuaaa!! Nakupendaga ujue?

No comments

Powered by Blogger.