Header Ads

Utupu: Huddah Monroe atupia tena picha akiwa mtupu kitandani....

 Huddah Monroe ameshajikubali kuwa ni ‘good girl gone bad’ na ndio maana haoni tatizo kuweka picha akiwa kitandani kama alivyozaliwa.
Mrembo huyo wa Kenya ame-post picha kwenye akaunti yake ya Facebook akiwa kitandani huku akiwa amejifunika na shuka sehemu ndogo tu ya mwili wake kuficha sehemu ny*ti.

Baadhi ya mashabiki wali-comment katika picha hiyo wakimshauri aachane na mambo kama haya ya kuposti picha zinomzalilisha mtandaoni kama ifuatavyo:..
“Don't you fear God?oh I like your beauty and everything mash Allah but this idea of being naked subhanallah stop it.You are a good girl hudda you can change if you want,” aliandika Shankaroon A. Mohammed.

“Wajameni u mean ur whoring for real?? Oh my… please stop proving ppl right n be decent now that uv achieved what u wanted… n be quiet, if not for anything else then respect your clientèle. This is wrong,” ameandika Brenskie La’femme.

No comments

Powered by Blogger.