Mwalimu afumaniwa akiomba penzi kwa mwanafunzi iliasimpe adhabu..
 Mwalimu  wa shule moja huko Kilimanjaro jina kapuni kwamaadili ya kazi yetu  amefikishwa katika kituo cha polis kwa kosa la mtaka mwanafunzi  kimapenzi baada ya mwanafunzi huyo kufanya kosa ili tu asimpe adhabu..

Katika  kesi hiyo ambayo mwalimu huyo alijitetea kuwa akuwa akimaanisha kumtaka  kweli ila tu alikuwa anamtania mwanafunzi wake huyo na ndipo wazazi wa  mwanafunzi huyo walipokasirika kwa kusikia hivyo na wanataka kesi  ipelekwe mahakamani na bado haijatajwa siku ya kupelekwa mahakamani 
Kwahabari zaid bofya hapa
Kwahabari zaid bofya hapa
No comments