Nimekuwekea hapa picha za Lowassa akiwa ndani ya daladala na wananchi..
Baada ya mafuriko ya CCM jana pale jagwani katika uzinduzi wa Kampeni za Urais leo asubuhi Mh Lowassa ameamka na Kick ya kupanda daladala na kusikiliza matatizo ya wananchi laivu laivu...hizi hapa picha nne akiwa katika tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi
No comments